Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,023
- 12,547
Hana ugonjwa wowote ni chakula gani kizur kinamfaa ukizingatia umri wake, yeye ni juice na maziwa ya mama tu
Ugonjwa mkuuu hauonekan kwa mtot kutopandish joto Wala kutocheza usichulie nadharia fika nae hospital.Hana ugonjwa wowote ni chakula gani kizur kinamfaa ukizingatia umri wake, yy ni juice na maziwa ya mama tu