The last don
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 966
- 970
Kwani kuwa mtoto wa Waziri ni moja ya tiketi ya kufaulu mtihani?..Au unamaanisha nini mkuuAmemaliza shule ya st.Matthew's
S1071/0102 FJESCA JOHN MAGUFULI 30 IV CIV-D HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C B/MATH-F COMM-F
Amemaliza shule ya st.Matthew's
S1071/0102 FJESCA JOHN MAGUFULI
30 IV CIV-D HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C B/MATH-F COMM-F
Amemaliza shule ya st.Matthew's
S1071/0102
FJESCA JOHN MAGUFULI
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C B/MATH-F COMM-F
sio safi kutoa siri za wanafunzi
What's the big deal?
Kwanza mfumo wetu wa elimu haueleweki! Na kufeli mtihani si kigezo cha akili wala werevu.
Sijui kwa nini tu watu wanawekeaga sana umuhimu wa divisheni....
sio safi kutoa siri za wanafunzi
Halafu mtoto wa Dr!
Dr Magufuli
Wengi wenu mnaofuatilia matokeo ya watu ndo kwanza hata hizo four hamkuzipata.wengine vyuoni mna pass,kwasababu hatuwajui ndo mnasakama watoto wa watu.kwani mtoto wa kiongozi ndo hafeli?waacheni watoto wa watu!
Wengi wenu mnaofuatilia matokeo ya watu ndo kwanza hata hizo four hamkuzipata.wengine vyuoni mna pass,kwasababu hatuwajui ndo mnasakama watoto wa watu.kwani mtoto wa kiongozi ndo hafeli?waacheni watoto wa watu!