mie naona yupo sawa tu na wazungu, maana hata madada wa kizungu wanakuja kuopoa kaka zetu wa kimasai na wenye rasta....au uchangua doa maeneo kama dubai wazungu na wenye feza zao hulipa dola kuanzia 300 kulala na changu wa kiarabu, wanaofuatia wabongo, wamwisho ni wachina dola chini ya 50, ....kuna mpaka ramani ya nchi zipi zenye wanaume wenye nanii ndefu duniani kwa ajili ya sex tourism, kwa afrika sudan inaongoza, usimcheke dogo. Ila dogo warabu wapo ila uwe na fweza ya kutosha na kusahau ukoo na familia uliyotoka, pia jiandae kubaguliwa hata kama unamshiko kiasi gani.