Mtoto wa 3 Months Mafua hayaishi, msaada wajuzi

Sheikh23

JF-Expert Member
Jul 11, 2016
1,128
1,842
Wakuu habari, niende moja kwa moja kwenye mada, nikiwa nmezingatia visababishi vyote vya mafua km vumbi, manukato, moshi na vyote vinaavyofanana na hivyo, bado mtoto mafua hayaishi.

Hospital wanadai ni hali ya kawaida, nilishauriwa apate Dr cold syrup imedunda, Cetrizen syrup imedunda.

Msaada tafadhari,mwenye kujua dawa nzuri inayoponya mafua kwa mtoto anijuze, natanguliza shukrani kwenu
 
Inawezekana mtoto ana alerge, cheki hiyo . Wangu alikuwa anaumwa kifua kupima iligungulika anayo alerge ya poleni za maua , samaki , ukungu/uvundo wa nguo ,
 
Inawezekana ni allergy kwenye mazingira yanayowazunguka jaribu kumuepusha na vitu kama vumbi,manukato,feni,baridi nk.pia vitamin c itamsaidia kuboost immunity yake kuweza kupambana na maradhi
 
Wakuu habari, niende moja kwa moja kwenye mada, nikiwa nmezingatia visababishi vyote vya mafua km vumbi, manukato, moshi na vyote vinaavyofanana na hivyo, bado mtoto mafua hayaishi.

Hospital wanadai ni hali ya kawaida, nilishauriwa apate Dr cold syrup imedunda, Cetrizen syrup imedunda.

Msaada tafadhari,mwenye kujua dawa nzuri inayoponya mafua kwa mtoto anijuze, natanguliza shukrani kwenu

Ukiachana na allergy. Kama kuna mtu mwenye TB au KIFUA kIkuu muwekeni mbali na mtoto atamwambukiza.
Hiyo hali huenda ikawa upper respiratory Tract infection ambapo akipewa dawa ya antibiotic syrup hupona.

Usipende kutumia neno IMEDUNDA madaktari waga wanaelewa kwamba dawa hyo haijafanya chochote yaan ni bora tusingempa. kwani Dawa ni nyingi ila tatiz ni kweny kuchagua ipi itamfaa. Maana tunawez kumpa dawa yenye nguvu zaidi ila ni kumdi moja na ile aliyopewa
Mfano: mtoto alikuwa anapiga chafya 10 kwa siku il baada ya kutumia cetirizine syrup anapga chafya 7 kwa siku . Hpo tunaangalia unafuu alioupat mtoto maana yake inabdi tumpe dawa yenye nguvu zaidi kuliko cetirizine syrup . Sema kama kuna unafuu wwote baada ya kutumia dawa hzo mbili?
 
Mtoto kula yake ya kila siku ikoje? Ni shortcut ya vyakula vya makopo, vya kununua njiani na mitaani, vyakula vya mabox na viwandani juice na soda, maziwa ya viwandani?
Kama ni hivo, mpe vyakula vya asili kwanza? Asili ya miti na wanyama na sio vilopita viwandani kwanza kama siagi zetu zile za margarine ktk uji n juice za ladha za matunda za kemikali.
Kama hali yeye basi zingatia ulaji wa mama yake pia... ale kiafya
Anzia hapo kwanza real food is medicine
 
Wakuu habari, niende moja kwa moja kwenye mada, nikiwa nmezingatia visababishi vyote vya mafua km vumbi, manukato, moshi na vyote vinaavyofanana na hivyo, bado mtoto mafua hayaishi.

Hospital wanadai ni hali ya kawaida, nilishauriwa apate Dr cold syrup imedunda, Cetrizen syrup imedunda.

Msaada tafadhari,mwenye kujua dawa nzuri inayoponya mafua kwa mtoto anijuze, natanguliza shukrani kwenu

Unatakiwa umpatie ag kids ,inatibu maradhi yote ya watoto
 
Back
Top Bottom