Mtoto Mzuri simuelewi anachotaka

Mtoto Mzuri simuelewi anachotaka

mjoli wa kweli

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
630
Reaction score
388
Habari MMU.
Kwa kweli napata wakati mgumu sana kumwelewa huyu mtoto mzuri niliyenaye anataka nimkaze kwa namna ipi. Simwelewi anataka nimkojoze ngapi ndio aridhike coz nikimkojoza vitatu ambavyo ni "International Standard" analalamika kwamba ni kidogo na ana uwezo wa kustahimili mchezo. Nikipiga zaidi ya hapo say vitano au sita anasema namkomoa. Naomba ushauri wa namna ya kumridhisha aache kulalamika.
Nawakilisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom