Mtoto hawezi kudhurika kwa hili?

Mtoto hawezi kudhurika kwa hili?

Principle girl

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
1,675
Reaction score
1,754
Rafiki yangu kanipigia simu muda si mrefu anadai amemkuta aunt yake ambaye ni muathirika wa gonjwa la ukimwi akiwa anamlisha mtoto chakula anachokula yeye teena kwa kutumia kijiko hichohicho anachotumia yeye,sasa anahofu kuhusu afya ya mtoto wake kwamba atakua salama na je hawezi kudhurika?
 
KAma huyo ant atakua na michubuko mdomon au vidonda na mtoto akawa na michubuko mdomoni kuna uwezekano wa kumpa mtoto maambukizi hivyo tunatakiwa kua makin katka malez ili tuwakinge watoto wetu kwani wao ni kizazi kijacho na ndio tegemeo letu la kesho..
 
kwa haraka anaweza kuhisi kama unamnyanyapaa lakini kiafya sio nzuri kabisa hasa kwa mtoto,kwanza hakuna ulazima wa kuchangia kijiko na mtoto hata kama wewe sio muathirika wa gonjwa hilo,kiweni makini sana katika malezi ya watoto
 
Kimsingi njia kuu ya Maambukizi ya HIV ni ngono tu, hizi njia nyingine huwa zinatokea kwa nadra sana..,
Pamoja na hayo tahadhari ni swala la muhimu sana, amewezaje kumuachia aunt yake huyo Mtoto huku anajuwa kuwa ni muathirika?
Coz hilo la kumpa chakula ni dogo ila kuna makubwa zaid ya hilo!!!
 
Hisia za kuepusha na hatari, hukuokoa mbeleni usitamke "ningejua"
 
Ni hatari sana kwa afya ya mtoto, kuathirika ama lah. Aidha huyo bi mkubwa hana elimu ya kutosha kuhusu hali yake, au anafanya makusudi.
 
KAma huyo ant atakua na michubuko mdomon au vidonda na mtoto akawa na michubuko mdomoni kuna uwezekano wa kumpa mtoto maambukizi hivyo tunatakiwa kua makin katka malez ili tuwakinge watoto wetu kwani wao ni kizazi kijacho na ndio tegemeo letu la kesho..
Kweli kabisa..mchubuko ni balaa
 
Back
Top Bottom