DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Watoto wa nje wakiwa na uwezo kiuchumi wote mna surrender na kujifanya mpo karibu nao kwa hali na mali ila wakiwa kinyume chake ndio mnajifanya kuwaona wapo tofauti na nyie, pumbavuuuu
Hebu kasome tena huu uzi...hapo tumezungumzia watoto wa nje in a negative waya na positive way...Watoto wa nje wakiwa na uwezo kiuchumi wote mna surrender na kujifanya mpo karibu nao kwa hali na mali ila wakiwa kinyume chake ndio mnajifanya kuwaona wapo tofauti na nyie, pumbavuuuu
Haya mabo yapo..ila kuna watu wanakuwa wakali...mpaka najiuliza huenda na huko kwao hiki kitu kipo...Kuna familia naijua watoto wote ni copy na baba ila mmoja ni kimeo
Utaona wamama watakavyosimama kidete kupinga....wataenda Beijing kwa Toyo..[emoji23][emoji23]Huwa najiwaziaga tu Ujinga fulani hivi mara nyingine.
Kwa mfano, kwa mfano yaani
Mkemia Mkuu wa Serekali au Waziri husika aseme tumetoa Ofa ya kupima DNA nchi nzima kwa hapo ulipo
Nipo barHebu kasome tena huu uzi...hapo tumezungumzia watoto wa nje in a negative waya na positive way...
Hali kadhalika watoto wa ndani tumewazungumzia positively na negatively...
Naona umekasirika sasa sijui wewe upo wapi hapo. ?
Nipo bar
I can't say yes or not.... simply, take your mom to coffee shop and ask her about that with very soft language....I hope that she will reveal everything..[emoji3][emoji3][emoji3]Nyumbani tupo wanaume watatu wawili tumesoma, mmoja alikataa shule darasa la pili, hajui hata kusoma lakini ni copy ya mzee ina maana mama alichepuka kwetu sisi wawili.?