Mtoto balaa

piper

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2012
Posts
3,253
Reaction score
612
Mtoto mmoja alipoteza yeboyebo hivyo akawa analia njiani kuelekea kwao akakutana mzee akamuuliza:

Mzee: unalilia nini mtoto mzuri?

Mtoto: (huku akigugumia kwa kilio) nimepoteza yeboyebo zangu.

Mzee: usijali mwachie mungu utapata zingine.

Mtoto: ni ndogo sana hazitamtosha.
 
Mtoto anajua, si wanasema Mungu mkubwa! Heheheeee!
 
Kwa akili za mtoto anona mpaka Baba anamuomba Mungu amsaidie basi atakuwa mkubwa sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…