irumba1
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 882
- 321
Habar wanajf,nina mtoto wa kike umri wa wiki mbili huwa analia sana na kwa muda mrefu wakat wa usiku,anaweza kuanza saa 4 hadi saa 7 analia tu,hospital walitu grip water ya kutuliza chango lakin bado tatizo,pia tumempa mafuta ya samak lakin tatizo bado lipo.mchana hasumbui ila analala sana,je kulia sana usiku ni kawaida?.msaada plz