Nina mtoto mdogo wa miaka 3½ ambaye siku ya Jana alikuwa analalamika wakti wa kujisaidia haja kubwa lakin baada ya masaa kadhaa alijisaidia kumbe alikuwa anapata maumivi ndani ya haja kubwa.
Wakati anajisaidia kilijitokeza kinyama laini ivi na alipomaliza kikarudi ndani na hali Kama iyo imejirudia tena leo wakti wa kujisaidia Hali ambayo imetupatia wasiwas mkubwa labda ndo Ugonjwa.
Naamini katika jukwaa hili Kuna watu huenda wame-experience tatizo Kama hili. Naombeni ushauri wa kitiba juu ya hili tatizo
Mungu awabariki sana.
Nawawasilisha
Wakati anajisaidia kilijitokeza kinyama laini ivi na alipomaliza kikarudi ndani na hali Kama iyo imejirudia tena leo wakti wa kujisaidia Hali ambayo imetupatia wasiwas mkubwa labda ndo Ugonjwa.
Naamini katika jukwaa hili Kuna watu huenda wame-experience tatizo Kama hili. Naombeni ushauri wa kitiba juu ya hili tatizo
Mungu awabariki sana.
Nawawasilisha