I am tired of this shit! Ignorance is more than the devil. Mtu akikosa elimu ya kujitambua ni hatari mno, haya ni matokeo ya kukosa elimu kwa kundi kubwa la watanzania.
Pengine yanaonekana kuwa ni masuala ya kawaida lakini sababu kubwa ni serikali kukosa mipango madhubuti ya kuwasaidia wananchi wake. Matokeo yake wanapopewa elimu isiyo na faida kwao basi wanachukulia ni sahihi. We need to wake up, haifai kuanza kugombana sisi kama ndugu, watu tuishio pamoja.
Kama kuna watu wanatumiwa kutugawa, basi UWT ndo kazi yao. UWT acheni uroho, tamaa ya fedha fuateni maadili yenu ya kulitumikia taifa. Saidieni watanzania maskini, wajinga pamoja na weny kuhitaji msaada.