Mtizameni ufoo saro sasa

Mmang'ati

Senior Member
Jan 8, 2011
184
49
Uchaguzi ulopita skuvi kawe waliwatuza watangazaji Masako na Fatma Nyangasa ilikuwa sahihi japo kiukweli kabisa Ufoo pia alistahili vile alipata misukosuko mingi ikiwa ni pamoja na kupopolewa mawe pale kibaha. Tafadhari wadau wa habari this time mtizameni binti huyu au kwakua anaripoti mikutano ya chadema.?Mtizamo tu.Nawasilisha.
 
Amefanya kazi nzito tangu mwanzo wa kampeni hadi leo siku ya uchaguzi,anafanya kazi nzuri,anastahili kupongezwa na kupewa zawadi.najua Igunga ilivyo na changamto nyingi katika kutekeleza kazi yake.
 
Kabisa ufo saro aetulia kwa ITV na Kwa MLIMANI AMIN ANTHONY MGENI NAYE YUPO NJEMA
 
Mbona sikuelewi?

Hunielewi pande ipi ndugu?Nyangasa na Masako walipewa zawadi kwa kukesha studio wakiripoti matukio ya uchaguzi lkn Ufoo aliekesha pale Loyola,akapigwa mabomu ya machozi pale kibaha nk alisahauliwa so nachukuwa nafasi kuwakumbusha watz tumpe motisha huyu dada japo anaripoti mikutano ya chadema.
 
ki ukweli dada wa watu anajituma sana,ila kibongo bongo ni sawa na kutwanga maji kwenye KINU
 
ki ukweli dada wa watu anajituma sana,ila kibongo bongo ni sawa na kutwanga maji kwenye KINU

Ndo maana meamua kujitwika uwakili naimani thawabu nmeshaandikiwa. Skuvi ujumbe uwafikie japo dressing table tu.
 
Hebu tupeni picha yake ili tukikutana naye mtaani tumpe pongezi,, hivi kafanya nini vile?
 
Hiyo ndio ajira yake. Kaipenda, labda apewe allowance ya kufanya kazi katika mazingira ya hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…