Uchaguzi ulopita skuvi kawe waliwatuza watangazaji Masako na Fatma Nyangasa ilikuwa sahihi japo kiukweli kabisa Ufoo pia alistahili vile alipata misukosuko mingi ikiwa ni pamoja na kupopolewa mawe pale kibaha. Tafadhari wadau wa habari this time mtizameni binti huyu au kwakua anaripoti mikutano ya chadema.?Mtizamo tu.Nawasilisha.
Amefanya kazi nzito tangu mwanzo wa kampeni hadi leo siku ya uchaguzi,anafanya kazi nzuri,anastahili kupongezwa na kupewa zawadi.najua Igunga ilivyo na changamto nyingi katika kutekeleza kazi yake.
Hunielewi pande ipi ndugu?Nyangasa na Masako walipewa zawadi kwa kukesha studio wakiripoti matukio ya uchaguzi lkn Ufoo aliekesha pale Loyola,akapigwa mabomu ya machozi pale kibaha nk alisahauliwa so nachukuwa nafasi kuwakumbusha watz tumpe motisha huyu dada japo anaripoti mikutano ya chadema.