Mmang'ati
Senior Member
- Jan 8, 2011
- 184
- 49
Uchaguzi ulopita skuvi kawe waliwatuza watangazaji Masako na Fatma Nyangasa ilikuwa sahihi japo kiukweli kabisa Ufoo pia alistahili vile alipata misukosuko mingi ikiwa ni pamoja na kupopolewa mawe pale kibaha. Tafadhari wadau wa habari this time mtizameni binti huyu au kwakua anaripoti mikutano ya chadema.?Mtizamo tu.Nawasilisha.