Jana baada ya kutangazwa ushindi wa ubunge ,Arumeru pamoja na udiwani nimeshuhudia maadamano na bendera za chadema zikipita kwa kusheherekea ushindi huo maeneo ya singida,tabora eneo la iguna na nzega pamoja na shinyang na mwanza.hii inaonesha sehemu nyingi ya nchi wamekubali chadema mkombozi wa wanyonge.
hebu ongeza sehemu nyingine waliko shehelekea kwa maandamano na kupeperusha bendera ya chadema
Jana baada ya kutangazwa ushindi wa ubunge ,Arumeru pamoja na udiwani nimeshuhudia maadamano na bendera za chadema zikipita kwa kusheherekea ushindi huo maeneo ya singida,tabora eneo la iguna na nzega pamoja na shinyang na mwanza.hii inaonesha sehemu nyingi ya nchi wamekubali chadema mkombozi wa wanyonge.
hebu ongeza sehemu nyingine waliko shehelekea kwa maandamano na kupeperusha bendera ya chadema
Wapi FF,MS na wenzake..!!!?Au bado MAGAMBA hawa wanafanya mahesabu ya KURA upya huku wakiugulia maumivu na hasara waliyoipata kwa kuliwa pesa walizokuwa wanahonga wananchi..?VIVA CDM,VIVA M4C...
Jana baada ya kutangazwa ushindi wa ubunge ,Arumeru pamoja na udiwani nimeshuhudia maadamano na bendera za chadema zikipita kwa kusheherekea ushindi huo maeneo ya singida,tabora eneo la iguna na nzega pamoja na shinyang na mwanza.hii inaonesha sehemu nyingi ya nchi wamekubali chadema mkombozi wa wanyonge.
hebu ongeza sehemu nyingine waliko shehelekea kwa maandamano na kupeperusha bendera ya chadema
Kuanzia mitaa hii ya Choma cha nkola, kahama, ikuzi, msasa, nikonga,masumbwe, ushirombo, runzewe, lubeho, kanagele, nyugwa, nyamtukuza.... wana nzengo wote bado tunasherekea ushindi wa CHADEMA
Maxmum respect to CHADEMA!