Wana Jf mambo alioongea mchungaj Mtikila kwebnye bunge la katiba amedhihirisha kwamba bado ni kiongoz shupav tena asieogopa kutishwa na watawala uchwara. Nimekumbuka sana kauli mbiu yake ya SAA YA UKOMBOZI NI SASA. Bado anaipigania Tanganyika huru nchi ya ahadi yenye Asali na Maziwa. Wadau tumuelewe huyu kiongoz.