Mtikila kuelekea uchaguzi 2010

Mtikila kuelekea uchaguzi 2010

Eng. SALUFU CA

Senior Member
Joined
May 12, 2010
Posts
144
Reaction score
17
Nimeguswa sana na mwanasiasa huyu jinsi ambavyo anahangaikia maslahi ya wana wa nchi hii. Hivi ndugu Mtikila ni wa wapi kwa maana ya mkoa wilaya, kipindi fulani nilisikia anatokea Ludewa ni kweli? maana anaonekana ni mbishi naking'ang'anizi kwelikweli. Nimefurahi kusikia kuwa hatakwenda tena jela kama ilivyotangazwa awali kwani tungekosa chachu yake katika uchaguzi ujao, bravo Mtikila aluta kontinua.
 
Tatizo la huyu mchungaji amejaa usanii sana. Schandal zingine hata si za mhimu, mambo ya kudaiwa mara apelekwe mahakamani kwa vitu visivyokuwa vya maana. Nadhani ni muda muafaka akajifikiria na alinde heshima yake kama mchungaji na kama mwanasiasa (sijui ndo tuseme anachanganya dini na siasa) kama wenzake wafanyavyo kwani sijawahi kusikia mtu kama Lipumba au Kikwete na kashfa za kijinga kama hizi za huyu mchungaji. All in all nimefurahi kusikia amerudi kwenye siasa ila nashauri asiende Tarime kwani huenda safari hii wakamtoa jicho kabisa.
 
Back
Top Bottom