Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Jana na leo shule tano za kinondoni na moja ya Ilala zinaendelea kufanya mtihani wa darasa la saba kwa mala ya pili, msemaji wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi amesema kuwa ni kwa ajili ya utafiti kama walitazamia au la!
Swali ni hili,
1. je ni wote watakuwa hawajasafili nje ya mkoa?
2. tangu wamalize masomo, ni kweli bado wanakumbuka masomo au ni mbinu za kuwafelisha?
3. NK
Swali ni hili,
1. je ni wote watakuwa hawajasafili nje ya mkoa?
2. tangu wamalize masomo, ni kweli bado wanakumbuka masomo au ni mbinu za kuwafelisha?
3. NK