maulaga
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 472
- 120
Sionagi mchango au point yeyote kwa kila anachoongea lwaitama, zaidi ya kutoka mapovu tu.
Kama uwezo wako wa kufikiri ni mdogo na unafikiri kwa tumbo badala ya ubongo utauonaje mchango au point ya Lwaitama aliyekwenda shule?