Ona, mfumo mzima wa CCM, viongozi, wapambe na mashabiki wao kila mtu anapambna na Dr. Slaa lakini hawafaulu kurudisha nyumba nia ya watanzania ya kuleta mabadiliko.
Kila kukicha lakima mmoja wa wana CCM ataongelea kuhusu Slaa. Wanampiga Mande!
Kwa nini wasiendelee na kueleza sera zao na mafanikio yao wanayosema yapo? kwa nini wanamuogopa Slaa?
KITENDO CHA WANACCM KUMSHAMBULIA NA KUJIBU HOJA ZA DR.SLAA KINAONYESHA SLAA NI TISHIO KWAO na NI KIONGOZI MADHUBUTI NA MAKINI mana hakuna hoja iliyojibiwa kisahihi mpaka sasa.
SITTA kaingia naye: Je si huyu ndiye aliyesema Dr. Slaa na Zitto ni wauongo wakati wanaibua hoja za Ufisadi? Leo ana lipi jipya?
Kila kukicha lakima mmoja wa wana CCM ataongelea kuhusu Slaa. Wanampiga Mande!
Kwa nini wasiendelee na kueleza sera zao na mafanikio yao wanayosema yapo? kwa nini wanamuogopa Slaa?
KITENDO CHA WANACCM KUMSHAMBULIA NA KUJIBU HOJA ZA DR.SLAA KINAONYESHA SLAA NI TISHIO KWAO na NI KIONGOZI MADHUBUTI NA MAKINI mana hakuna hoja iliyojibiwa kisahihi mpaka sasa.
SITTA kaingia naye: Je si huyu ndiye aliyesema Dr. Slaa na Zitto ni wauongo wakati wanaibua hoja za Ufisadi? Leo ana lipi jipya?