Asante Mkuu kwa mwaliko.Karibu sana Musoma kristmass hii, upate kichuri na togwa safi kwa afya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umedandia treni hujui laenda wapi? Punguza kiherehere.Pyepyepye
Wape Salaam Mukendo
Tia neno wanangu wa Tembo beach
Usisahau Hotel yangu enzi hizo Matvila
Usiache kumpa heko Suz wa Makoko
Ujue umenikumbusha mbali sana.
Huyo Sinister haiujui hata nchi yake
Bila shaka ni mtoto aliyezaliwa Makadara
Akaenda kusoma Bahati jirani na E3
Chakula chake kikipikwa Kariobangi South
Anaijua Ngong road zaidi ya chokoraa
Wasalaaam
Niko hapo Rock Garden Mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti Kenya to Egypt and S.A...matusi ni ya nini?
Kenya & Tz are different worlds apart. You cannot compare the two. Compare Kenya to Egypt or S.A and Tanzania to Burundi or Somalia.
Comparing Kenya to Tz is a No-No! That's a very big insult.
Kenya freedom iko
Ingelitokea kw yule jamaa, angelikiona cha mtema kuni..amuulize idris sultanKenya freedom iko
Pyepyepye
Wape Salaam Mukendo
Tia neno wanangu wa Tembo beach
Usisahau Hotel yangu enzi hizo Matvila
Usiache kumpa heko Suz wa Makoko
Ujue umenikumbusha mbali sana.
Huyo Sinister haiujui hata nchi yake
Bila shaka ni mtoto aliyezaliwa Makadara
Akaenda kusoma Bahati jirani na E3
Chakula chake kikipikwa Kariobangi South
Anaijua Ngong road zaidi ya chokoraa
Wasalaaam
Niko hapo Rock Garden Mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app