Mti wa Ajabu

Hii miti ipo sana bukoba nikawaolida sana! ila kama kuna haja yakufanya reseach mkuu endelea natafuta msaada chuo cho chote cha mistu.
 
imani ya kishirikina umeiona wapi katika maelezo yake? wewe mwenyewe ndo mshirikina. sikio lako umeliandaa kusikia ushirikina tu wala sio maajabu ya sayansi ya uumbaji wa mwenyezi Mungu.
Imani za kishirikina zimetawala UBONGO wako
 
imani ya kishirikina umeiona wapi katika maelezo yake? wewe mwenyewe ndo mshirikina. sikio lako umeliandaa kusikia ushirikina tu wala sio maajabu ya sayansi ya uumbaji wa mwenyezi Mungu.

Mbona unajihami baada ya kutaja ushirikina. Huwa unaushiriki au umeshawahi kuushiriki? Sio kosa lako. Tatizo shallow mind. Duniani hakuna mti wa namna hiyo. Nimesoma miti ya aina mbalimbali, hakuna mti wa aina hiyo. Kama unathibitisha naomba unitajie jina la mti huo kwa lugha ya kitaalamu au hata kwa lugha ya kabila lako.
 
Ni kawaida baadhi ya miti wakati wa jua kali kutoa maji maji lakini haipendezi kukaa chini ya mti saa 7 mchana wakati wa jua kali unawezwa kukumbwa Shetani mbaya kwani mashetani huwa wanakimbilia kwenye miti wakati wa jua kali. Huo ndio ushauri wangu.
 
Uku kwetu mingi sana hata mimi cku ya kwanza nilishanga kidogo sio kwama ulivyo shangaa wewe. ukanda wa baridi unatoa maji kwa wingi na chini panakuwa kama mvua
 
Hao ni wadudu fulani ambao hukaa vikundi vidogovidogo juu miti mbalimbali, fanya uchunguzi wa kina utagundua hilo, hakuna maajabu yoyote hapo. Kwa sisi tuliokulia vijijini wadudu hao wanaishi hata kwenye miti ya mihogo wakati wa jua kali.
 


Mkuu nadhani huo mmea kitaalamu ndiyo ule unaoitwa mimosa pudica unasifa ya kuitikia kichocheo cha mguso (THIGMOTROPHIC PLANT) yaani hata mdudu akitua kwenye jani lake hilo jani linajifunga na kutoa kemikali zinazomuua huo mdudu na kumfyonza ndani. Ni mmea wa kipekee ambao hautegemei miziz pekee kujipatia chakula chake. Ukiandika jina hilo youtube au ukasearch google utapata taarifa zake zaidi.


BACK TO THE MAIN TOPIC: Ni kweli kuwa mmea unafanya evapotranspiration kama njia moja wapo ya kusafirisha virutubisho mbalimbali kwenye sehemu mbalimbali za mmea husika, lakini kwa mujibu wa mleta mada nadhani kuna kitu cha kutilia maanani.Anasema mmea huo mara zote anapopita hapo anaona unafanya tabia hiyo kitu ambacho siyo cha kawaida.Transpiration huwa ni ya vipindi tu na hasa huwa inakuwa maximum kipindi cha jua kali. Namshauri mleta hoja ajaribu kuwaona wataalamu wa miti (BOTANISTS) vyuo vikuu au kwenye taasisi za utafiti, who knows may be ni new discovery na wewe unakuwa second after Mr. Erasto Mpemba with MPEMBA EFFECT.
 
Si mnasemaga Kapuya hamnazo, mwiteni hapa uone atakavyowafafanulia. Botany woyeeeee
 

usijifanye msomi kumbe kanjanja. Ungekuwa umesoma aina ya miti duniani ungeujua na huo kwa jina lake picha yake iko hapo juu.
 
Hao ni wadudu fulani ambao hukaa vikundi vidogovidogo juu miti mbalimbali, fanya uchunguzi wa kina utagundua hilo, hakuna maajabu yoyote hapo. Kwa sisi tuliokulia vijijini wadudu hao wanaishi hata kwenye miti ya mihogo wakati wa jua kali.

Maelezo yako ni sahihi kabisa,nipo maeneo ya Mkoa wa Pwani miti hiyo ni mingi sana na wenyeji wanaiita miombo.Asili ya maji hayo ni mikojo ya hao wadudu na atawaona akichunguza kwa makini .
 

Nipo kati ya mkoa wa Pwani na Morogoro.
 
Maelezo yako ni sahihi kabisa,nipo maeneo ya Mkoa wa Pwani miti hiyo ni mingi sana na wenyeji wanaiita miombo.Asili ya maji hayo ni mikojo ya hao wadudu na atawaona akichunguza kwa makini .

Nimechunguza ila sijapata kuwaona hao wadudu kwakweli,nisingekuwa na haja ya kuitoa hii ishu endapo ningehakiki km kuna wadudu wa aina hiyo.
 

uwe unafanya uchungunzi kabla ya kupost hii miti mbona ipo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…