Kwa Katiba ya nchi iliyopo, CCM haihitaji wapiga kura ili kupata kura. Huikuhitaji wewe wala mmachinga.
Hata wasipoenda kupiga kupiga kura, wao watapata idadi % wanayohitaji.
Tume ya uchaguzi wanateua wao, ma DED wao, Polisi, TISS
View attachment 1985795