Mtegemee Mungu na wala usikate tamaa

Mtegemee Mungu na wala usikate tamaa

Unazidi kupagawa,kwann usisome post za member wengine na ukatulia?
Man muone daktar unadepression kali mno na utapata paranoia soon
 
Unaweza ukawa umefik mwisho,unaona kama haun faid kwenye hii dunia,ila ishi na imani mtumaniye mungu sio wote wanaokutakia mema wengi, wanataman utesek ndio wafurah.mungu akupe nguv maan ww n mshnd
Unalewa Ukiwa kanisani au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom