Wakuu huu n mtazamo tu, make pia katiba inaniruhusu. Nionavyo mimi biashara ya ngono ingehalalishwa tu ila kukawa na sehem maalum ambapo watu wanaofanya hyo biashara watakaa na kufanya biashara yao na walipe kodi serikalini m najua kuzuia hii kitu haiwezekan. Naomba kuwasilisha