Kwa mfumo wetu, wa ukusanyaji kodi ni mgumu sana, kwanza kwenye suala la kodi haliitaji nguvu nyingi na sheria kali sana, ili watu walipe kodi bali ni elimu tu, na hao walipaji kodi waone umuhimu wa kodi pale wanapoona mrejesho wa matunda yake, sasa hapa Tz we unakamuliwa kodi kila siku unasikia bilioni kadhaa zimeliwa huo si ujinga, ukienda hospital hata panadol tu hamna, masokoni huko kila lro ni ushuru takataka tu kuziondoa ni shida. Tofauti na wazungu, wao nawaona ufahali kulipa kodi kwani wanaona matokeo yake. Hapa kodi mnakusanyia WAHUNI tu, na wafanya biashara wakubwa nchi hii hawalipi kodi inavyotakiwa, mlipaji kodi ni yule anayetafuta pesa ya kula tu. Na hasa kariakoo kuna polisi wengi na wafanyakazi wa TRA, Wao ni kuvizia watu ambao hawajapewa risiti na wauzaji, ili wawakamue, hata kama umenunua kwa mhindi flat screen ya sumsung inchi 40,na kwenye risiti imeandikwa laki moja, wao wanakubali tu!!!