Mtazamo wangu kuhusu wachezaji wapya wa Simba

Hziyech22

JF-Expert Member
Jun 8, 2019
13,577
18,901
Uchambuzi wangu mdogo kuhusu usajili wa Simba
1.shubobo
Huyu sikuwa na mashaka nae kabisa tokea alivyosajiliwa nilivyomuangalia YouTube nikaona kabisa ni mchezaji mzuri na pia nikagundua kwanini kocha alimuacha kotei na kumsajili huyu,huyu jamaa ana uwezo mzuri wakukaba ila anavyomzidi kotei ni kuwa na pass accurate pamoja nakushambulia kutokea katikati kwenda mbele hiv ndio vimewashawishi Simba kumsajili ndo maana sikushaa kwa kiwango kizuri alichoonyesha Jana.


2.Deo Kanda
Huyu ninauita perfect usajili na nikwanini? Mara nyingi Simba imekuwa ikiwatumia mabeki wa pembeni Kama mawinga kitu ambacho sometime kina wacost pale ambapo mabeki hao kuwa wazito kurudi nyuma na kusababisha mapengo yanayotumiwa vizuri na wapinzani wao kuwafunga na tumeona hiv kwenye mechi nyingi za caf champion league lakini kitendo Cha kumsajili real winga Kama Kanda kitawasaidia kupunguza majukumu beki kupanda Sana na pia Kanda ni mzuri kwenye kuwaangaisha mabeki pia anauwezo wa kufunga na kufungua mabeki wa timu pinzani


3.sina imani na wabrazili wote
Kiukwel hao wabrazili hawaja nifurahisha kabisa tokea walivyosajiliwa nimeangalia kwenye YouTube sijaona ukali wao wowote na pia sijajua kwanini walisajiliwa au ndio ulimbukeni wa kupenda wabrazili jamani so kila mbrazili ni mchezaji mzuri kutokana na malengo makubwa walionayo club ya Simba msimu huu sioni hawa wabrazili ni machaguo sahihi kwa simba ebu tuangalie mmoja mmoja
A.yule mbrazili kiungo
Huyu mbrazili nilianza kumuangalia YouTube nilichogundua ana uwezo mdogo Sana kwenye kukaba ingawa ni mzuri kwenye touch na pass lakini unapokuwa kiungo mkabaji kitu muhimu unatakiwa uwe nayo ni uwezo wa kukaba hivyo vingine unatakiwa viwe nyongeza hata mech ya jana nimekiona pia tena kutokana na hili sioni Kama atachukua namba kwa mkude au shubobo hata pia kwa mzamiru.

B.yule beki mbrazili
Nae huyu sijavutiwa kabisa na uwezo wake tokea nimtazame YouTube mpaka mechi ya jana ni beki wa kawaida na sioni Kama anaweza kuingia first eleven ya Simba hata Kenneth ni mzuri kuliko huyu beki
C.mbrazili straiker
Huyu ndo kabisa hamna kitu uwezo wake wa kufunga ni mdogo Sana na hata sioni akipata namba kwa John bocco Wala kwa kagere huyu atakuwa bench maker na atakuwa anakula bure hela za Simba.
N.k Me ni mshabiki wa Simba usije ukasema me ni mshabiki wa ynga kwasababu nimeongea ukweli ambao unaweza ukawa mchungu kwa mashabiki wenzangu wa Simba huo ndio mpira ndio ushabiki wakujenga .
 
Uchambuzi wangu mdogo kuhusu usajili wa Simba
1.shubobo
Huyu sikuwa na mashaka nae kabisa tokea alivyosajiliwa nilivyomuangalia YouTube nikaona kabisa ni mchezaji mzuri na pia nikagundua kwanini kocha alimuacha kotei na kumsajili huyu,huyu jamaa ana uwezo mzuri wakukaba ila anavyomzidi kotei ni kuwa na pass accurate pamoja nakushambulia kutokea katikati kwenda mbele hiv ndio vimewashawishi Simba kumsajili ndo maana sikushaa kwa kiwango kizuri alichoonyesha Jana.


2.Deo Kanda
Huyu ninauita perfect usajili na nikwanini? Mara nyingi Simba imekuwa ikiwatumia mabeki wa pembeni Kama mawinga kitu ambacho sometime kina wacost pale ambapo mabeki hao kuwa wazito kurudi nyuma na kusababisha mapengo yanayotumiwa vizuri na wapinzani wao kuwafunga na tumeona hiv kwenye mechi nyingi za caf champion league lakini kitendo Cha kumsajili real winga Kama Kanda kitawasaidia kupunguza majukumu beki kupanda Sana na pia Kanda ni mzuri kwenye kuwaangaisha mabeki pia anauwezo wa kufunga na kufungua mabeki wa timu pinzani


3.sina imani na wabrazili wote
Kiukwel hao wabrazili hawaja nifurahisha kabisa tokea walivyosajiliwa nimeangalia kwenye YouTube sijaona ukali wao wowote na pia sijajua kwanini walisajiliwa au ndio ulimbukeni wa kupenda wabrazili jamani so kila mbrazili ni mchezaji mzuri kutokana na malengo makubwa walionayo club ya Simba msimu huu sioni hawa wabrazili ni machaguo sahihi kwa simba ebu tuangalie mmoja mmoja
A.yule mbrazili kiungo
Huyu mbrazili nilianza kumuangalia YouTube nilichogundua ana uwezo mdogo Sana kwenye kukaba ingawa ni mzuri kwenye touch na pass lakini unapokuwa kiungo mkabaji kitu muhimu unatakiwa uwe nayo ni uwezo wa kukaba hivyo vingine unatakiwa viwe nyongeza hata mech ya jana nimekiona pia tena kutokana na hili sioni Kama atachukua namba kwa mkude au shubobo hata pia kwa mzamiru.

B.yule beki mbrazili
Nae huyu sijavutiwa kabisa na uwezo wake tokea nimtazame YouTube mpaka mechi ya jana ni beki wa kawaida na sioni Kama anaweza kuingia first eleven ya Simba hata Kenneth ni mzuri kuliko huyu beki
C.mbrazili straiker
Huyu ndo kabisa hamna kitu uwezo wake wa kufunga ni mdogo Sana na hata sioni akipata namba kwa John bocco Wala kwa kagere huyu atakuwa bench maker na atakuwa anakula bure hela za Simba.
N.k Me ni mshabiki wa Simba usije ukasema me ni mshabiki wa ynga kwasababu nimeongea ukweli ambao unaweza ukawa mchungu kwa mashabiki wenzangu wa Simba huo ndio mpira ndio ushabiki wakujenga .
Tatizo lenu wabongo mmekariri mchezaji mzuri lazima awe na manjonjo mengi ya kupiga chenga
 
Tatizo lenu wabongo mmekariri mchezaji mzuri lazima awe na manjonjo mengi ya kupiga chenga
Nani kwa kuambia? Nimechambua vzr wewe tu macho yako huoni huyo kiungo mbrazili sio mkabaji mzuri ingawa ni mzuri kwenye pass na touch lakini unapokuwa kiungo mkabaji kitu Cha muhimu kuliko zote ni lazima uwe unauwezo mkubwa wa kukaba hayo mengine unatakiwa yawe ongeza ningekuwa na pima mchezaji kutokana na manjonjo yake ama pass zake huyo mbrazili kiungo ningemuita Bora lakini kutokana na uwezo mdogo wa ukabaji aliyonayo nimeona kabisa hawez kupata number kwa shubobo,mkude Wala mzamiru mark my words
 
Nani kwa kuambia? Nimechambua vzr wewe tu macho yako huoni huyo kiungo mbrazili sio mkabaji mzuri ingawa ni mzuri kwenye pass na touch lakini unapokuwa kiungo mkabaji kitu Cha muhimu kuliko zote ni lazima uwe unauwezo mkubwa wa kukaba hayo mengine unatakiwa yawe ongeza ningekuwa na pima mchezaji kutokana na manjonjo yake ama pass zake huyo mbrazili kiungo ningemuita Bora lakini kutokana na uwezo mdogo wa ukabaji aliyonayo nimeona kabisa hawez kupata number kwa shubobo,mkude Wala mzamiru mark my words
Ukisema ukabaji mzuri unamaanisha nini?!

Tatizo umekariri Man-Man tight making. Gerson Fraga hachezi Man to Man. Yeye anaziba nafasi tu shughuli yote kwisha. Na hicho ndo alikifanya jana.

Ushajiuliza kwanini Busquet haimbwi kama kiungo bora wa kukaba lakini kwa Pep humwambii kitu?

Ukabaji sio lazima umvunje mtu mguu Mkuu. Mpira una miongozo yake.
 
Ukisema ukabaji mzuri unamaanisha nini?!
Tatizo umekariri Man-Man tight making. Gerson Fraga hachezi Man to Man. Yeye anaziba nafasi tu shughuli yote kwisha. Na hicho ndo alikifanya jana.
Ushajiuliza kwanini Busquet haimbwi kama kiungo bora wa kukaba lakini kwa Pep humwambii kitu?
Ukabaji sio lazima umvunje mtu mguu Mkuu. Mpira una miongozo yake.
Na akikaba kama wanavyotaka watasema anacheza foul nyingi... kikubwa dimba liwe letu huu mwingine uwongo tu
 
Dakika 20 za mwisho kipindi cha kwanza dynamo walituwini katikati lakini alipongia gerson aliwapoteza kabisa
Sio kwamba fraga aliwapoteza lakini kwa Mimi nilivoona ni mzamiru na Chama ndo walitengeneza muunganiko mzuri yule mbrazil alikua anacheza free hakabi na wala Moira alikua anagusa Mara chache.
 
Nani kwa kuambia? Nimechambua vzr wewe tu macho yako huoni huyo kiungo mbrazili sio mkabaji mzuri ingawa ni mzuri kwenye pass na touch lakini unapokuwa kiungo mkabaji kitu Cha muhimu kuliko zote ni lazima uwe unauwezo mkubwa wa kukaba hayo mengine unatakiwa yawe ongeza ningekuwa na pima mchezaji kutokana na manjonjo yake ama pass zake huyo mbrazili kiungo ningemuita Bora lakini kutokana na uwezo mdogo wa ukabaji aliyonayo nimeona kabisa hawez kupata number kwa shubobo,mkude Wala mzamiru mark my words
Narudia tatizo lako umekariri kiungo mkabaji lazima akabe kwa vurugu kwa kutumia minguvu mingi na kucheza faulo...hyo Dogo mbrazil yupo opposite anakaba nafasi
 
Acha ujinga wewe..... Huwezi kujua ubora wa mchezaji kwa kuangalia youtube, iyo ni sawa na kuchagua mke kwa kuangalia picha, usitoe kasoro ya wachezaji wa kibrazil kwa kigezo cha youtube, ikiwa ni hivyo bas Olivier Giroud angesajiliwa Madrid. Jana tumewaangalia wabrazili pale uwanjani tumelidhika nao, ni wachezaji bora sana, Tp mazembe lazima watupole wale wachezaji.
 
Hapo uliposema wabongo wengi tunapenda chenga upo sahihi.... Kuna Mbrazil alikuwa anachezea ARSENAL.... aliitwa GILBERTO SILVA... Jamaa alikuwa hana mambo mengi lkn alikuwa bonge moja la NAMBA 6! Kwenye WC 2002 jamaa alikuwa mmoja wa wachezaji waliocheza game zote!

Kwa hapa Tanzania kind mtu anaitwa HIMID MAO... hana vyenga.... lkn yuko sawa sana
Una jicho la mpira wewe..! Wabongo wengi tunapenda chenga.
Hata Kotei alivyofika kuna thread zilianzishwa humu jukwaani kumponda kisa tu hachezi kama watakavyo Watanzania.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom