Mtazamo tu: Sijamuunga mkono Obama kabisa

Nimeshangaa kumsikia Obama anaongea uongo alipokuwa Warsaw kwamba Wamarekani wote wamesikitishwa mno na mauji ya polisi, Dallas. Obama anajua fika kwamba kuna baadhi ya watu walipata ahueni, waliona kama "wamerudisha magoli" kwa kuuliwa polisi. Na ukweli ni kwamba bila kuuliwa polisi kusingekuwa na mjadala mpana kuhusu ubaguzi na mauaji ya wanaume weusi.

Obama ilibidi atafute lugha nyingine ya kueleza masikitiko yake, si kusema uongo.

Mkuu umesema ukwel mtupu.Obama ameamua kutumika baada ya kusimama kama rais mwenye msimamo
 
Sisukumwi na weusi wangu tii nilionao ...ila nashangaa kumuona MTU alopata kura nyingi toka Kwa weusi ili awaongoze Leo akidiriki kwenda upande mwengine kuwakingia kifua weupe walofanya upuuzi.kweli simuungi mkono amenikosea sana anatakiwa angekaa kimya kuliko kwenda kuzitia nguvu familia za wauaji waloua waafrika wenzie Kwa makusudi.
Mkuu, Hata kama ungekuwa wewe usingefanya hivyo. Mtu muungwana akivuliwa nguo huchutama. Chukuwa mfano mdogo tu wewe ni baba wa familia wakatokea watoto wako wakagombana hata kutoana ngeo. Lazima utatafuta lugha ya kubalance ili kuepusha mpasuko mkubwa hata kama unajua fulani ndiye mkorofi. Hicho ndo Obama alichokifanya. Ukweli unaujua kuwa kama angeegemea upande wa weusi, yawezekana hali ingekuwa mbaya zaidi.
 
Ni Kweli mkuu. Ya kwetu yametushinda tunakimbilia kujadili mambo ya Nchi zilizoendelea. Hiyo video imenisikitisha Sana yaani Waafrika tunaishi kama wanyama.
Umaskini unatufanya tusijiamini mpaka kushindwa kuwakosoa waloendelea wanapokosea kisa sisi maskini wao wanazo basi kila kitu tuseme hewala
 
Mkuu, Hata kama ungekuwa wewe usingefanya hivyo. Mtu muungwana akivuliwa nguo huchutama. Chukuwa mfano mdogo tu wewe ni baba wa familia wakatokea watoto wako wakagombana hata kutoana ngeo. Lazima utatafuta lugha ya kubalance ili kuepusha mpasuko mkubwa hata kama unajua fulani ndiye mkorofi. Hicho ndo Obama alichokifanya. Ukweli unaujua kuwa kama angeegemea upande wa weusi, yawezekana hali ingekuwa mbaya zaidi.

Mkuu weusi wameuwawa Mara ngapi na hao polisi Kwa sababu wao ni weusi...hajatoka kama alivyotoka safar hii baada ya weupe kutiwa risasi pia.Mkuu Obama hii kick inamuharibia image yake Kwa mtazamo wangu
 
Poleni.. poleni sana... Poleni !!
inasikitisha hata kwa maoni na rai zenu zina kingana na kudharauliana...!!!

Poleni tena
 
Sisukumwi na weusi wangu tii nilionao ...ila nashangaa kumuona MTU alopata kura nyingi toka Kwa weusi ili awaongoze Leo akidiriki kwenda upande mwengine kuwakingia kifua weupe walofanya upuuzi.kweli simuungi mkono amenikosea sana anatakiwa angekaa kimya kuliko kwenda kuzitia nguvu familia za wauaji waloua waafrika wenzie Kwa makusudi.
 
Sisukumwi na weusi wangu tii nilionao ...ila nashangaa kumuona MTU alopata kura nyingi toka Kwa weusi ili awaongoze Leo akidiriki kwenda upande mwengine kuwakingia kifua weupe walofanya upuuzi.kweli simuungi mkono amenikosea sana anatakiwa angekaa kimya kuliko kwenda kuzitia nguvu familia za wauaji waloua waafrika wenzie Kwa makusudi.

Hebu jaribu kurudia kumsikiliza Obama hotuba zake tangu akiwa Warsaw Poland, Madrid Spain na ya Dallas kuhusu mauaji ya Weusi na wale askari 5 utamuelewa!, Rais wa nchi yoyote ni Consoler in chief, hawezi kuegemea upande mmoja kwa sababu ya asili au rangi yake, nchi itawaka moto! Obama ni mtu mwenye karama, hekima na busara sana katika maswala magumu, kamwe huwa hasukumwi na jazba na mihemuko, hata pale mazingira yanapomlazimisha kutokwa na machozi kwa uchungu lakini kauli zake huwa tulivu sana, no wonder popularity ratings zake ziko at an all time high hata katika kipindi hiki kuekekea mwisho wa utawala wake ambacho marais wengi wa marekani huitwa Lame duck presidents na hukosa ushawishi kabisa! Mama Clinton atanufaika sana na ushawishi wa BO! Google speech zake kuhusu tukio hili, uzitafakari sana utamuelewa BO.
 
yaani unashindwa kutofautisha kitu kidogo tu kuuwawa kwa polisi na kuuwawa kwa raia?! pia kumbuka anapozungumza rais inazungumza serikali, sasa unategemea serikali iseme kuhusu kuuwawa kwa maafisa wake hasa wa usalama?!
 
Back
Top Bottom