Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,869
- 61,572
Ni kweli mkuu hivyo vitu vinaumiza kweli,na usipokuwa navyo makini vinaweza kusababisha magonjwa yasiyokuwa ya lazimaLove and politics is a source of all pain, and conflict in this world..
Nimeongeza na siasa, nikimaanisha mtu ukiwa huna mpenzi wala hujiusishi na siasa utakua free pain na uta enjoy sana maisha.
kwa hiyo mkuu unapambana vipi na hii haliNi kweli kiasi Fulani, Nikiakisi na maisha yangu. Shida Ni moja.
Kila Moyo wahitaji kupenda au kupendwa, we all needs to belong to someone!
Shida iko pale unayempenda mno asikurudishie upendo unaompa, ukizingatia Moyo ukipenda unakua hauoni mwanamke mwingine mzuri zaidi yake.
ha ha ha haNa enjoy sana maisha ya ubachela nakuwa happy napata amani nakula papuchi za kila aina bila wasi wasi coz hakuna wa kuniuliza ulikuwa wapi au unafanya nini
ha ha ha haNi jambo zuri kufarijiana kama hivi
ha ha ha ha
ha ha ha mkuu uko single?Kuwa single raha aiseee😂😂😂
Kabisa mkuuLove and politics is a source of all pain, and conflict in this world..
Nimeongeza na siasa, nikimaanisha mtu ukiwa huna mpenzi wala hujiusishi na siasa utakua free pain na uta enjoy sana maisha.
Mkuu upo sahihi lakini ukiwa single ukawa bize na mambo yako unakua free sana na mwisho wa siku katika huo ubize wako utampata tu mwenza wako na hauto toa effort yoyote kua nae, means mahusiano yenu yatakuja automatic,, always nature ipo hivo.Ni kweli kiasi Fulani, Nikiakisi na maisha yangu. Shida Ni moja.
Kila Moyo wahitaji kupenda au kupendwa, we all needs to belong to someone!
Shida iko pale unayempenda mno asikurudishie upendo unaompa, ukizingatia Moyo ukipenda unakua hauoni mwanamke mwingine mzuri zaidi yake.
ha ha ha mkuu uko single?
ha ha ha haHapana
Nawapa maneno ya faraja tu kwa walio single 😆
Kweli kabisa aiseeMtu asiyekuwa na mpenzi anakuwa yuko huru katika maisha yake,anakuwa amekwepa kifungo cha utumwa....anachokitafuta katika maisha ni kwa ajili ya tumbo lake tu,akipata akikosa hakuna wakumlaumu;ingawa kupingana na asili ni mtihani pia.
Umesahau pia huwa wanapiga nyeto sanaaMtu asiyekuwa na mpenzi anakuwa yuko huru katika maisha yake,anakuwa amekwepa kifungo cha utumwa....anachokitafuta katika maisha ni kwa ajili ya tumbo lake tu,akipata akikosa hakuna wakumlaumu;ingawa kupingana na asili ni mtihani pia.
uvuvu wa kufikiri.Mtu asiyekuwa na mpenzi anakuwa yuko huru katika maisha yake,anakuwa amekwepa kifungo cha utumwa....anachokitafuta katika maisha ni kwa ajili ya tumbo lake tu,akipata akikosa hakuna wakumlaumu;ingawa kupingana na asili ni mtihani pia.