Mtazamo hasi wajamii yetu kuhusu makabila haya . . !!!!

Machame again? Am proud to be mwanamke wa Kimachame, wachaga maarufu kuliko wote, title tu inadipict kuwa Mmachame ni mwanamke strong, fighter, not ready to be oppresed, beautiful, intelgent and God fearing. Kwa yote hayo najua am marketable ni kiasi cha kuamua cuz pamoja na makelele yote ya kuwasema vibaya we still ROCK kuanzia hapa Jf mpaka mtaani! Wadada wote wa Kimachame hapa Jf thumbs up!! Teh!

Sabry001 nimependa sana msimamo wako! Nakukaribisha sikukuu ya iddi. Twen zetu maisha club kama vipi
 
Last edited by a moderator:
Eiyer hapo juu ulilzea vzuri ila uliposide na kusema hizo hoja zina ukweli ndo umeharibu jumla. Ungetuachia situjadili kama kweli au la japokua hili limshajadiliwa sana hapa.

mwaJ upo wapi mamito ndo napita iringa ivo
 
Last edited by a moderator:
Ni jana tu jamaa yangu mmoja aliambiwa na baba yake kuwa;"nitakusapoti kwenye ndoa yako lakini usimuoe huyo mwanamke ulie nae",kijana alipomuuliza baba yake sababu ya kumkataa mchumba wa kijana wake,mzazi alisema eti kabila la huyo mwanamke hawajatulia.Mzee yule akamuorodhezea makabila mengine kwamba asijidanganye kuoa,makabila hayo ni Wanyiramba(hili ndilo kabila la mchumba wake),Wahaya,Wasukuma wa Nasa na Wachaga wa Machame.Mzee yule alidai kuwa Wahaya na Wanyiramba wanasifa zinazofanana yaani vicheche.Wasukuma wa Nasa na Wachaga wa Machame nao wana sifa zinazofanana yaani Uchawi,wanakawaida ya kuwaua waume zao baada ya kupata mafanikio.Kwanza nikiri kuwa hoja hizi zina ukweli.Lakini pia ukweli huo ulikua una nguvu sana zamani sio sasa.Ni vyema jamii ikaacha kuyahukumu makabila hayo leo.Nasema hayo kwani leo ni vigumu sana kumjua mwanamke mwadilifu kwa misingi ya kabila.Tabia za kupenda kufanya ngono hovyo na kwenda kwa waganga iko karibu kwa kila mwanamke,kama ni karibu kila mwanamke basi inayahusu makabila yote(hata wanaume wana tabia hizi ila kwa malengo tofauti).Nadhani huu ni wakati wa kubadilika na kuishi kiuhalisia na sio kimazoea!!

Sitaki mwanangu aoe Mnyalu basi. Sihitaji hoja wala mijadala. Huyo mzee anasababu zake, falsafa za kabila haziishi ila zinafichwa.
 
hahaa.! yaani umeshindwa kusema kuwa huo ndo mtizamo wako ukamsingizia mzee wa watu.Wajifanya kuambia watu eti waache hizo fikra na wakati huo huo unatetea hizo fikra unazotaka watu waachane nazo? unachekesha.

Haya bana,naona umeamua kuwa mimi!
 
Machame again? Am proud to be mwanamke wa Kimachame, wachaga maarufu kuliko wote, title tu inadipict kuwa Mmachame ni mwanamke strong, fighter, not ready to be oppresed, beautiful, intelgent and God fearing. Kwa yote hayo najua am marketable ni kiasi cha kuamua cuz pamoja na makelele yote ya kuwasema vibaya we still ROCK kuanzia hapa Jf mpaka mtaani! Wadada wote wa Kimachame hapa Jf thumbs up!! Teh!

Umeyatoa wapi haya??Au unapambana na hofu iliyo ndani yako?
 
Iyo ya wamachame nasikia kitambo ilikuwa ivyo maana wengi walikuwa wajane ila haya mambo ya kujichaganya kwa watu kumedillute hii tabia
Ila apo kwenye ukicheche nazani ni tabia ya mtu sidhani kama ni kabila
 
Machame again? Am proud to be mwanamke wa Kimachame, wachaga maarufu kuliko wote, title tu inadipict kuwa Mmachame ni mwanamke strong, fighter, not ready to be oppresed, beautiful, intelgent and God fearing. Kwa yote hayo najua am marketable ni kiasi cha kuamua cuz pamoja na makelele yote ya kuwasema vibaya we still ROCK kuanzia hapa Jf mpaka mtaani! Wadada wote wa Kimachame hapa Jf thumbs up!! Teh!
Kazi unayo kubalisha huo mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!.
 
hizo ni mila potofu na zakizamani sana.
mambo yamebaadilika sasa ivi, huyo mzee yeye hajabadilika kuendana na wakati?
 
Iyo ya wamachame nasikia kitambo ilikuwa ivyo maana wengi walikuwa wajane ila haya mambo ya kujichaganya kwa watu kumedillute hii tabia
Ila apo kwenye ukicheche nazani ni tabia ya mtu sidhani kama ni kabila

Well said . . . . . . . . . . . !!!!
 
Ilikuwa kawaida yetu zamani kuwachagulia wenzi watoto wetu. Kulikuwa na vigezo vinavyoangaliwa, ikiwa ni pamoja na mila na desturi za huyo mwenzi, pamoja na tabia. siku hizi vijana mnadai hayo yamepitwa na wakati. Pamoja na hayo, inabidi mfahamu kuwa ndoa huunganisha watu wawili, na vile vile familia mbili. kutokana na vijana kujichagulia wenzi kwa vigezo vichache (Mfano:- ukubwa wa makalio) bila kujali tabia, mila na desturi, ndoa nyingi zimeishia kuwa matatizo,

USHAURI WANGU

Vijana mkubali sisi wazazi wenu tuwachagulie wenzi

hapo penye kabla ya ushauri naunga mkono hoja ila huo ushauriiiii......mhhhh hebu ngoja tukae kama kamati
 
huyo mzee anamtaka huyo bint,mm nimechanganya mnyiramba na muhaya kwa baba but cmjui mwanaume mwingine zaid ya mume wangu.wengine cyo kabila hizo wanagawa uchi kama karanga.badiliken bwana mmeshaniharibia saumu sasa aagh!
 
Eiyer hapo juu ulilzea vzuri ila uliposide na kusema hizo hoja zina ukweli ndo umeharibu jumla. Ungetuachia situjadili kama kweli au la japokua hili limshajadiliwa sana hapa.

mwaJ upo wapi mamito ndo napita iringa ivo

Tobaaaaa! Nilikuwa mbali wangu, si unajua tena maandalizi ya sikukuu? Nataka ukifika ukute mambo mazuri sio ndio nianze kukimbia kimbia sokoni.
 
Kwa kuwa teknolojia inakuwa watu "watabadili" makabila yao.Msinishambulie, yangu ni hayo tu.Sikukuu njema
 
Ni jana tu jamaa yangu mmoja aliambiwa na baba yake kuwa;"nitakusapoti kwenye ndoa yako lakini usimuoe huyo mwanamke ulie nae",kijana alipomuuliza baba yake sababu ya kumkataa mchumba wa kijana wake,mzazi alisema eti kabila la huyo mwanamke hawajatulia.Mzee yule akamuorodhezea makabila mengine kwamba asijidanganye kuoa,makabila hayo ni Wanyiramba(hili ndilo kabila la mchumba wake),Wahaya,Wasukuma wa Nasa na Wachaga wa Machame.Mzee yule alidai kuwa Wahaya na Wanyiramba wanasifa zinazofanana yaani vicheche.Wasukuma wa Nasa na Wachaga wa Machame nao wana sifa zinazofanana yaani Uchawi,wanakawaida ya kuwaua waume zao baada ya kupata mafanikio.Kwanza nikiri kuwa hoja hizi zina ukweli.Lakini pia ukweli huo ulikua una nguvu sana zamani sio sasa.Ni vyema jamii ikaacha kuyahukumu makabila hayo leo.Nasema hayo kwani leo ni vigumu sana kumjua mwanamke mwadilifu kwa misingi ya kabila.Tabia za kupenda kufanya ngono hovyo na kwenda kwa waganga iko karibu kwa kila mwanamke,kama ni karibu kila mwanamke basi inayahusu makabila yote(hata wanaume wana tabia hizi ila kwa malengo tofauti).Nadhani huu ni wakati wa kubadilika na kuishi kiuhalisia na sio kimazoea!!

VP WASUKUMA WA MASANZA KONA, IHALE, NYAWA NA LUBUGU?
Bukome , Shigela, Ditiwa, Ilumya na kwa kina Ngongoseke wanahusika? Magu mjini je? Wasukuma ni wamoja, hawana utengano kama wachagga
 
Back
Top Bottom