I am ready to believe it was a slip of the finger and not intentional...:A S 39:Ujinga kama huu utazungumzwa makanisani ni wale kondoo waliopotea ndio wataamini pumba za kijinga kama hizi. Shame on you gays
Kwani lazima useme kiingereza hata kama hujui? Ona sasa unatukana watu. You should have said guys! Omba radhi! Shame on you for the bad word.Ujinga kama huu utazungumzwa makanisani ni wale kondoo waliopotea ndio wataamini pumba za kijinga kama hizi. Shame on you gays
JF kuna kazi kweli kweli. Akisema Sheikh Yahya ni matusi kwenda mbele. Sasa na huyu naye tunamuweka wapi? Kwanini tunakubali haya ya sheikh Yahya tunapinga? Watafiti wakiweka takwimu zao, watu wanataka kutoana roho.
Binadam tuna hulka ya kupendelea matamanio ya nafsi zetu. Mara nyingi mtu atapenda kitokee kilichopo moyoni mwake. Kinachoweza kutuokoa katika hili ni objectivity tu. Km alivyotabiri Sheikh Yahya na huu wa askofu nao ni utabiri, kwahiyo hakuna jipya.
Mkuu, kura yako ndiyo mwamuzi.Kazi ipo mwaka huu oktoba 31.
Ulijuaje kuwa si kweli? au ni ukweli. Maona huwezi kutolea hukumu. Wewe timiza wajibu wako, kapige kura 31 Oct 2010
Endeleeni kujidanganya mkidhania Rais wa nchi anatoka MAKANISANI![/Qw
Wananchi wa watanzania ni wa makanisani, misikitini na wengine upagani.
We uilitaka watoke wapi?