Mtatiro: UKAWA imeinyanyua CUF


Mkuu Mtatiro! Usijali sana. Mungu ana mipango yake tulia tu. Anapanga atakavyo! Kikubwa kumuabudu tu.
 

Mkuu Matola nakumbuka ulitoa tahadhari mapema sana,na ukamtaja jamaa Mkurya anayemuhamasisha huyu dada asiachie Jimbo...kweli dada katuangusha sana,siku ya ufunguzi wa kampeni za UKAWA wanasema yeye alijitenga na kufungua kampeni za Madiwani wa Chadema the same day..halafu hakuonekana Jimboni kufanya kazi na mtatiro..akaenda mikoani mpaka mwisho
 
Last edited by a moderator:
katika wagombea wote wa nafasi ya ubunge, kwa hekima, ustahimilivu wa kisiasa ujengaji na uwasilishaji wa hoja Julias Mtatiro ameonyesha kiwango cha juu sana. Ningekuwa na mamlaka ningmpatia ubunge ili ajenge hoja na atetee maslah ya wananch.
 
Hongera sana Mtatiro. Na hii ndiyo faida ya kukaa karibu na PROFESA. ume-grab fikra za Kizalendo. I can see another professor-not yet verified through CUF. Also be close to Hon. ZZK for betterment of your future as a visionary leader!
well-said!
 
bila Chadema kumhujumu Mtatiro jimbo la Sengerea leo hii na yeye(mtatiro) angekuwa anaenda bungeni kiurahisi sana
 
Ulichoandika kinaendana na cv yako niliyosoma ktk gazeti la mwananchi...kweli wewe ni Msomi. Big up.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…