ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,013
Ni kweli, tz ina hazina kubwa ya wajinga
Vp Chadema ambayo mwenyekiti hana ukomo na haojiwi popote??????Actually CCM haijawahi kufanya Uchaguzi halali tangu historia ianze ya Multiparty
Huo wanaouita ni ushindi umekua ujambazi. Na pale waliposhindwa, ni kwamba ni anguko.
Ma-key actors wanaudhohofisha uchaguzi wa huru na haki ni pamoja na:-
Wakurugenzi wote wa Halmashauri nchini ni ma-puppets wa CCM wanaotumiwa kuhakikisha CCM haipotezi kwenye katanna vijiji.
Wakuu wa mikoa na wilaya
Jeshi la Polisi nchini.
Tume ya uchaguzi.
Haiingii akilini, tume yao, Kanuni watunge wao kisha waanguke!!.
cCM wemefeli kila kitu kihistoria.
Ndio wanufaika wa ujinga wa watanzania wengi nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
wameongea zamani kwa mujibu wa mtoa madaWameongea lini?
Kweli JF ni vijana wadogo wengi na tatizo hawajui hitoria ya hawa viongozi. Haya maneno ni kweli kuna wakati wa uongozi wao walihitilafiana ndo wakatoleana haya mapovu.Wameongea lini?
Pole!Sina Hakika kama CDM inafaa kulinganishwa na CCM at any level.
Sijawahi kusikia kua hakuna ukomo wa Mbowe na kwamba hauojiwi chochote.
Labda usemacho ni conspiracy tu. Hakuna ushahidi wowote.unless uje na proof.
Ninachokiona kwa cdm ni kua Wako watu wengi sana wanaifuata CDM kwasababu ya Mh. Mbowe.
Wako wanachama waliifuata Cdm kwasababu y Dr. Wilbroad Slaa.
The same to Mh. Edward Lowasa.
Kulingana na hili, ikitokea umewapora madaraka hawa ma iconic leaders, unaweza kukifanya chama kiwe unpopular.
This also applies to ACT-Wazalendo ambapo watu wako pale kwasababu ya mh.Zitto Kabwe.
Once utakapo mng'oa pale, na ACT haitakua na umuhimu wowote mbele ya jamii.
Indicator kubwa ninayoweza kuitumia ni kua watu hawa wakihama chama wanaenda moja kwa moja kua viongozi, kwasababu wanao utajiri wa wafuasi na mvuto.
Majina yao ni Brand tosha.
Sasa hapa utasema sio demokrasia lakini demokrasia isio strategically haina mashiko.
Ikiwa utamuweka mtu ili mradi umemuweka madhara yake ni kua anaweza kufanya chama kisisikike tena.
Sababu kama hizi ndizo zinapelekea wanasiasa kama Maalim Seif, Lipumba kuendelea kubaki siasani.
Huu utamaduni ulikuwepo tangu zama za Agustine Lyatonga Mrema alipokua yupo HoT!! ambaye alikua akihama chama na lundo la wafuasi.
Hata hivyo kwa cdm yapo mazingira kua kuna wanasiasa walikuzwa na chama mfano zitto kabwe. Kama njia endelevu ya kuibua mawazo mapya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndio Ukweli.
Aaaah dogo sina maana hiyo nahimiza kujisomea mjue haya mahistoria.Mkuu,JF ni kwa ajili ya maajuza tu?
NimeKayaandika haya kwenye Fesibuku...
"Kuna ule utani wa zamani wa Nyerere na Jomo Kenyatta.
Mwalimu alimwambia Jomo '...unaongoza watu waliolala'
Jomo akamjibu...'wewe unaongoza maiti"
[HASHTAG]#Hata[/HASHTAG] kama ni kuelezea hisia juu ya tukio fulani,si kwa matusi kama haya....
Nimemuelewa mzee Jomo, waiter naomba castle shingo yamwishoKayaandika haya kwenye Fesibuku...
"Kuna ule utani wa zamani wa Nyerere na Jomo Kenyatta.
Mwalimu alimwambia Jomo '...unaongoza watu waliolala'
Jomo akamjibu...'wewe unaongoza maiti"
[HASHTAG]#Hata[/HASHTAG] kama ni kuelezea hisia juu ya tukio fulani,si kwa matusi kama haya....