Mtatiro J, haya matusi sasa....

Mtatiro J, haya matusi sasa....

Iyegu

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
6,276
Reaction score
12,424
Kayaandika haya kwenye Fesibuku...
"Kuna ule utani wa zamani wa Nyerere na Jomo Kenyatta.
Mwalimu alimwambia Jomo '...unaongoza watu waliolala'
Jomo akamjibu...'wewe unaongoza maiti"

[HASHTAG]#Hata[/HASHTAG] kama ni kuelezea hisia juu ya tukio fulani,si kwa matusi kama haya....
 
Maiti wanaongozwa au wanaongoza?
lugha mubashara kabisa hiyo hata edo kumwembe anajua tumebakiza akili za kuvukia mataa barabarani

kwa mfano makonda alitangaza msako wa watu wasio na ajira wakat zimezuiliwa na wao hapo kuna nini?
 
Teh! teh! teh! Ukweli una UuuuMaaaa!!!! najisikia ViBaya....!!!
 
Back
Top Bottom