Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,424
Kayaandika haya kwenye Fesibuku...
"Kuna ule utani wa zamani wa Nyerere na Jomo Kenyatta.
Mwalimu alimwambia Jomo '...unaongoza watu waliolala'
Jomo akamjibu...'wewe unaongoza maiti"
[HASHTAG]#Hata[/HASHTAG] kama ni kuelezea hisia juu ya tukio fulani,si kwa matusi kama haya....
"Kuna ule utani wa zamani wa Nyerere na Jomo Kenyatta.
Mwalimu alimwambia Jomo '...unaongoza watu waliolala'
Jomo akamjibu...'wewe unaongoza maiti"
[HASHTAG]#Hata[/HASHTAG] kama ni kuelezea hisia juu ya tukio fulani,si kwa matusi kama haya....