Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

Kama ni hivyo i hope kuna cctv huko bank
 
Barclays walishasepa,bank zao wamewaachia ABSA
 
Sasa hela yooooote hiyo utaifanyia nini? Mimi huwa najiulizaga sana!
Chakula changu best ni ugali wa dona na matembele! Hakizidi jero! Toooba?
Utakufa kabla haijaisha in case fujo zako zikiishia kwenye kununua magari tu. Ukijimix kununua ndege miaka mitano unakuwa maskini wa kutupwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…