msimamia kucha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 769
- 642
Habari za jioni...je Salum Mwalimu amerejeshwa channel ten baada ya kufanya Kazi Vodacom kama afisa habari.?
Habari za jioni...je Salum Mwalimu amerejeshwa channel ten baada ya kufanya Kazi Vodacom kama afisa habari.?
Habari za jioni...je Salum Mwalimu amerejeshwa channel ten baada ya kufanya Kazi Vodacom kama afisa habari.?
Habari za jioni...je Salum Mwalimu amerejeshwa channel ten baada ya kufanya Kazi Vodacom kama afisa habari.?
Nami nimwmwona nikaanza kujiuliza huyu nimemwona wapi nikamkumbuka. Ndio uzuri wa kuondoka vizuri unapofanya kazi!
Nimejifunza kitu,ya kwamba usiache kazi kwa kunyea kambi...
Nimejifunza kitu,ya kwamba usiache kazi kwa kunyea kambi...
Mfano mzuri ni Dr Slaa hawezi tena kuwa Padre..kashaoa tayari.
Mfano mzuri ni Dr Slaa hawezi tena kuwa Padre..kashaoa tayari.
Nimejifunza kitu,ya kwamba usiache kazi kwa kunyea kambi...
Mfano mzuri ni Dr Slaa hawezi tena kuwa Padre..kashaoa tayari.
Mfano mzuri ni Dr Slaa hawezi tena kuwa Padre..kashaoa tayari.
Muda si mrefu wataruhusiwa kuoa. Tena Slaa ni nafuu amekuwa wazi. Kule kuna wanaofanya kwa kificho na wengine wana mitara na watoto kibao mitaani. Bora ya Slaa aliyekuwa mkweli kwa kuacha upadri kuliko kuendelea kuwa padri kwa unafiki. Si umesikia mpaka papa kaomba radhi kutokana na makosa yaliyofanywa na mapadri kuwalawiti watoto kule Marekani?Mfano mzuri ni Dr Slaa hawezi tena kuwa Padre..kashaoa tayari.