Inasikitisha sana.
Amefariki lini? Nini chanzo cha kifo chake?
Kijana mdogo bado na alikuwa katika harakati za kukamilisha ndoto zake.
RIP Fred. Pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki. Mungu awape nguvu na ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu. Pole kwa wana-BBC na waandishi wa habari kwa ujumla. Bwana ametoa na Bwana ametwaa. Jina la Bwana lihimidiwe.