Mtangazaji Redio 47: Kule Tanzania hata watoto wamemkataa Rais Samia na uongozi wake

Mtangazaji Redio 47: Kule Tanzania hata watoto wamemkataa Rais Samia na uongozi wake

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mmoja wa watangazaji kutoka redio ya kenya (radio 47) amesema hapa Tanzania hadi watoto wammemktaa Rais Samia Suluhu Hassan. Je, unakubaliana na mtangazaji huyu au la?.
 
Even i had bad comment from street daughters, we need more research
 
Nchi haikuwa tayari kuwa na "floral president"!Na,cha kushangaza,jinsi yake ndiyo wanaongoza zaidi kwa kumkataa.
 
Back
Top Bottom