Siku moja alikua ana muelezea whitney Huston...... Aisee jamaa alikwenda deep sana nikawa kama naangalia documentary kwente Tv kumbe nasikiliza redioHuyu Mwamba huwa namsikia Jumamosi asubuhi. Aisee hana mpinzani kwenye narrations . Nilimsikia siku moja akisimulia ajali ya ndege ya wale wachezaji wA Zambia, Yani anakuchukua anakuweka ndani ya tukio. Ni muvi aisee! Najiuliza tu anawezaje juwa vitu vyote hivii!?? Je hawazi kuziweka hizi simulizi kwenye kitabu!? Alafu mbona hayupo kwenye social media!!?
Babu yako ana marinda?ndo yule mbabu kama choko?
Amefanya kazi redio kubwa karibu zoteYupo vizuri, ila sijui hapendi exposure yeye, kwa maana hata ya kutoka na kutangaza redio ama tv tofauti na aliyopo.
Ila kuna wakati kama nilikuwa namsikia BBC SWAHILI, miaka kidogo imepita, ila ni kwa muda tu nikamsikia tena karudi TBC
Anaijua vema kazi yake. Hongera yake.
Ahsante!
Jamaa ana msimamo sanaHapendi kuingiliwa kwenye taaluma awapo kazini, alesema kilicho muondoa IPP enzi hizo ni kuletewa habari aitangaze wakati tayari alikuwa amekwisha anza kurusha habari radioni na hiyo habari ilikuwa haija hakikiwa ila kwa kuwa ililetwa na bosi enzi hizo marehemu MUTIE aka kataa kuisoma na bosi akamwambia aandike barua ya kujieleza akampa maelezo ya mdomo bosi aka mind maosud akaamua kuacha kazi. Nadhani hiki ndio kimemfanya abakie TBC kuongozwa kimzuka na mabosi wasio na taaluma ni shida.
Huo ni mtazamo hasi mkuu, kila mtu anahitaji pesa lakini wapo wanaoridhika mapema ingawa wangeamua wangezimake.Mwanamziki wa kweli kweli ni yule anaepiga hela for future ww na sauti yako nzur huna lolote umaarufu mjin PESA
Kwamba Wewe husikilizi radio ya taifa? DuuhNi mzuri ila alifanya makosa kwenye redio zisizo na jina. Kwa hiyo sasa hivi yuko TBC? Kkipindi gani?
Kama wewe kabisa.ndo yule mbabu kama choko?
Yap...nilikisikia hicho kipindi...nafikiri haswa alikuwa anamzungumzia UMU KULUTHUUM wa EgyptSiku moja alikua ana muelezea whitney Huston...... Aisee jamaa alikwenda deep sana nikawa kama naangalia documentary kwente Tv kumbe nasikiliza redio
Kuna siku alikua anachambua aina za sauti na uwezo wa waimbaji duniani, hapo ndipo nilipo kuja kubaini kuwa Ruby anakipaji cha hali ya juu sana cha sauti miongoni mwa wanamuziki wa kibongo
hilo ndio jina lake la utotoni toka akiwa kwao taboraNigger j
high school alisoma shy bushHuyu alisoma enzi zile ambazo nchi hii ilikuwa na shule...kama sikosei alisoma Tabora au Shinyanga
ni chotara wa kiarabu,mama yake ni mwarabu na baba yake ni mswahiliHuyu mzee adcted na pombe
kali hasa Ile sprit Ya Russia,,, na hivi ana muonekano wa kisomali yupo kama kagame