Mtandao wa Vodacom leo una shida gani?

Mtandao wa Vodacom leo una shida gani?

Watchtower

Member
Joined
Sep 18, 2022
Posts
93
Reaction score
182
Screenshot 2023-07-21 164751.png

Wakuu nipo Morogoro, tangu asubuhi siwezi kupiga simu za Voda. Vipi kuna changamoto ya mtandao?
 
Nadhani hayo matatizo yanatokana na 5G. Toka Waongie kwenye mfumo huu si simu wala internet inafanya kazi vizuri. Bora warudi 2G tujue moja.
 
Voda - leo inashida haipandishi mnara
Halotel nayo muda fulani ikawa hivyo hivyo

Kibaya zaida hata hawajajisumbua kutoa taarifa wapo kimya as if nothing is happening . Bad enough kama kuna kifurushi chochote ulijiunga bado kitaisha vile vile without any kind of compassion .
 
Mimi mpaka nilihisi line inashida maana hakuna kitu kinaweza kufanyika!!! Yani mnara hamna kabisa no service n ukirudi basi simu hazitoki wala kuingia
 
hebu twenden woote kweny paga yao ya insta tuwatumie sms DM kule wastuke
 
Voda na tigo hii mitandao sijawahi kuiamini sijui kwa nn.😟
 
Shida zaidi hawa jamaa hawa admit kuwa wana Changamoto ya mtandao, Pamoja na uwepo wa utitiri wa Platforms za Kuwakutanisha na wateja wao ila hilo hawajaona kama ni Muhimu kuwajulisha Customers wao, Tumekuwa kama tupo kwenye stone age, Maana watu wengine wamepeleka Simu zao kwa mafundi wakihisi Changamoto ni Simu, Cost zote izo nani atabeba?
 
Back
Top Bottom