Tumia vpn mkuuHabari wadau , hivi ndo tuseme telegram bongo imepigwa ban , maana Nina zaidi ya miezi kadhaa nashindwa kuitumia , nime uninstall na kuinstall upya lakini wap, shida Nini waugwana
Atasereleka tu kwenye magroup yake ya kikubwa😀😀Tumia vpn mkuu
VPNHabari wadau , hivi ndo tuseme telegram bongo imepigwa ban , maana Nina zaidi ya miezi kadhaa nashindwa kuitumia , nime uninstall na kuinstall upya lakini wap, shida Nini waugwana
😆😆😆sijui kwanini, nikimuona mtu anatumia telegram, kinachonijia kichwani either ni mtu wa magroup ya Connection ✂️ au forexAtasereleka tu kwenye magroup yake ya kikubwa😀😀
Ushammiss Farida au yule mwenye ua kiunoniHabari wadau , hivi ndo tuseme telegram bongo imepigwa ban , maana Nina zaidi ya miezi kadhaa nashindwa kuitumia , nime uninstall na kuinstall upya lakini wap, shida Nini waugwana