mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
Wanabodi awali ya yote heri ya pasaka kwa wale waumini wote wa imani ya kikristo na wasio wakristo pia hapa meru mashariki kwenye jimbo la mbunge nassari joshua kuna mtandao umeanzishwa na vijana waishio meru kwa ajili ya kujiletea maendeleo yao kiuchumi ambapo mtandao huu umejumisha vijana mbalimbali kama vile madaktari,waalimu,madereva wote,waendesha bodaboda,wafanyabiashara mbalimbali haya yote ni kutokana na kwamba hakuna chochote ambacho joshua nasari amewafanyia na nguvu hii imeanza kumstua mpaka yeye na katibu wake kwasababu ccm imeonyesha dhahiri kuwapigania hawa vijana kwa kuwahidi kuwapatia mtaji wa kifedha ili waweze kufungua saccos yao ya kukopeshana mikopo ya fedha na pembejeo,bodaboda na uzuri kwamba vijana hawa hawaangalii itikadi ya chama mtu kujiunga nao.haya ndio tunataka sisi vijana toka ccm.nawasilisha