Wakuu nawataarifu msinunue mabandle kwenye halotz...wanaiba hela kwa nguvu
1. Nilikuwa na dkk zaidi ya 600 za mwezi zilitakiwa ziishe 20 July lakini zimeipotea yaan ukiangalia salio ni zero na sijazitumia
2. Nilinunua GB 1 jana usiku nikaingia fb dkk moja nikalala asubuh nikakuta no data nikanunua ten GB moja dkk 1 nimeingia fb ikawa inaload kuja kuchen kwenye * 102 # nikakuta no sms, no dkk no data ...natafta mwanasheria nigungue kesi mahakamani hawa ni wezi Shenfield zao
1. Nilikuwa na dkk zaidi ya 600 za mwezi zilitakiwa ziishe 20 July lakini zimeipotea yaan ukiangalia salio ni zero na sijazitumia
2. Nilinunua GB 1 jana usiku nikaingia fb dkk moja nikalala asubuh nikakuta no data nikanunua ten GB moja dkk 1 nimeingia fb ikawa inaload kuja kuchen kwenye * 102 # nikakuta no sms, no dkk no data ...natafta mwanasheria nigungue kesi mahakamani hawa ni wezi Shenfield zao