Mtandao wa airtel mbovu au ni simu yangu!

Mtandao wa airtel mbovu au ni simu yangu!

Chuhigwa

Member
Joined
Aug 6, 2011
Posts
49
Reaction score
21
Wakuu habari za leo! Natumia line ya Airtel Tanzania, leo ni takriban siku ya nne network inasumbua dak2 nimeikosa dak4 napata net!! Hivi ni simu yangu tuu? Au hawajamaa wanatatizo kwenye mitambo yao! Naomba msaada kama kuna mwenye tatizo kama langu ili niwakimbie airtel!
 
Hata mimi nimeshagombana nao sana leo kwenye kitengo chao cha huduma kwa wateja ile na 100 mpaka wananiambie huduma hii utatozwa sh 60 wakati mara ya kwanza walikuwa wananisikiliza bure.
 
Mim.mara msg zinaingia mara zime.stuck internet had uzime.sim.ukiwa.tumia email.kwa kutumia.app.yao ya airtel care wako.faster kukupigia still.jitandao.hivyooo nimehamia tigo japo.sijaanza kutumia internet asee CYBERTEQ kwa taarifa
 
Last edited by a moderator:
Mim.mara msg zinaingia mara zime.stuck internet had uzime.sim.ukiwa.tumia email.kwa kutumia.app.yao ya airtel care wako.faster kukupigia still.jitandao.hivyooo nimehamia tigo japo.sijaanza kutumia internet asee CYBERTEQ kwa taarifa[/QUOTE me pia nahamia Tigo wameninyima raha sana
 
Last edited by a moderator:
Bora ya wewe siku nne.
Mbona mimi nina wiki na kidogo intanet sina kabisa na nilikuwa nimeunga furushi la wiki.
Kwa hasira nikakopa kingine cha wiki nikatumia dakika zote halafu nimehamia voda mazima.
 
Bora ya wewe siku nne.
Mbona mimi nina wiki na kidogo intanet sina kabisa na nilikuwa nimeunga furushi la wiki.
Kwa hasira nikakopa kingine cha wiki nikatumia dakika zote halafu nimehamia voda mazima.
Asanteni sana wakuu nadhani ni muda wa kuhama sasa!
 
ni kwel, nilijuta kununua kifurushi chao

nsharud zangu voda net unagusa tu ishafungua

power to you
 
mimi nimegombana nao pia kuna mkaka nimempigia simu kumueleza shida angu anakauli mby ikabidi nimzingue tu..huduma ya airtel money wamefunga account yangu wananambie nimekosea no ya siri mara 3. namba hyo hyo huwa naitumia kila siku.....wasipo badilika na hizo kauli zao watapoteza watu wengi sn
 
Airtell tena duu ila kawaida mitandao yote siku zote haiwezi kuwa inatoa huduma vizuri kuna sku lazima waboronge tuu. Jaribu kutizama sehemu ulipo mtandao gani nimzuri kwa net maana hapa nilipo tigo ni balaa ukigusa tu kitu kimefunguka lkn tigo hyohyo ukenda sehemu nyengine net slow vibaya na inasumbua so fanya uchunguzi na sehemu ulipo
 
Niko mbioni pia kuikimbia Airtel. Toka tar 05/09/2014 mpaka leo hii napata text messages zinajirudiarudia tuuuuuuuu. Achilia mbali kutopatikana hewani sometimes wakati simu iko on full time. Ukiongezea na Customer Care ilivyo hovyo sasa hivi, unawapigia wanakujibu utumbo na kukupotezea tu hewani. Nimebakiza option moja tu, kuwaibukia mtaani kwao HQ pale Morocco nikadili nao physically na majina ya wale Customer Care walionizingua ninayo, ntawanukia.
 
Back
Top Bottom