Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Hahahaaaa... Mshika mawili moja linamponyokaManara kaenda kuuza vipodozi hko
Leo ni tabu wakuu, baridi inatusumbua sana.
Hali ya hewa siyo nzuri kabisa.
Zisizidi 5 tu jamani, hatutaki aibu ya Taifa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mmeanza kujitetea mapema
Subiri bac mkuu mechi haijaisha😂😂😂Manula aondoke metacha asajiliwe.