Mtaji wa Tsh 300,000 na faida ya uhakika Tsh. 50,000

Mtaji wa Tsh 300,000 na faida ya uhakika Tsh. 50,000

MkuuXyz

Senior Member
Joined
Jun 18, 2025
Posts
161
Reaction score
269
Wadau, Nipeni USHAURI HAPA, Nina BIASHARA ambayo MTAJI WAKE ni 300,000 na Hii biashara inaingiza MAPATO ( faida ) ya 50,000 kila siku GUARANTEED

Swali ni kuwa je Niendelee na Biashara hii au NIANGALIE utaratibu wa biashara nyingine yenye MTAJI Mkubwa na FAIDA kubwa.

***** Swali linaulizwa Kwaniaba ya Muhusika.
 
Wadau, Nipeni USHAURI HAPA, Nina BIASHARA ambayo MTAJI WAKE ni 300,000 na Hii biashara inaingiza MAPATO ya 50,000 kila siku GUARANTEED

Swali ni kuwa je Niendelee na Biashara hii au NIANGALIE utaratibu wa biashara nyingine yenye MTAJI Mkubwa na FAIDA kubwa.

***** Swali linaulizwa Kwaniaba ya Muhusika.
Contents nyingine ukizisoma tu utagundua mwandishi anatafuta mawazo ya biashara kutoka kwa wadau.

Haiingii akili uwe na mtaji wa laki 3 halafu kwa siku unaingiza 50k guaranteed na bado uje kuomba ushauri kama huu.

Kwasababu obvious kama kila siku unapata 50k kama faida, maana yake ndani ya siku 6 (kabla ya wiki kuisha) utakuwa umekuza mtaji x2. Hii inamaanisha kwamba unaweza kuendelea kuongeza mtaji kwenye hiyo biashara au ukatumia faida kufanya biashara nyingine.


Nataka kusema kwamba, hakuna mtu atapata biashara nzuri kama hiyo halafu ashindwe kubuni vyanzo vingine vya mapato na aje kuom a ushauri jf.

Chai
 
Kuna yule mama anapika vitumbua na anasomesha Marekani sijui wapi huko tafuta uzi wake sidhani kama biashara ya kuchoma vitumbua inaweza kuzidi laki tatu.
 
Contents nyingine ukizisoma tu utagundua mwandishi anatafuta mawazo ya biashara kutoka kwa wadau.

Haiingii akili uwe na mtaji wa laki 3 halafu kwa siku unaingiza 50k guaranteed na bado uje kuomba ushauri kama huu.

Kwasababu obvious kama kila siku unapata 50k kama faida, maana yake ndani ya siku 6 (kabla ya wiki kuisha) utakuwa umekuza mtaji x2. Hii inamaanisha kwamba unaweza kuendelea kuongeza mtaji kwenye hiyo biashara au ukatumia faida kufanya biashara nyingine.


Nataka kusema kwamba, hakuna mtu atapata biashara nzuri kama hiyo halafu ashindwe kubuni vyanzo vingine vya mapato na aje kuom a ushauri jf.

Chai
Mheshimiwa ahsante kwa Ushauri na kwa kejeli pia, lakini kama nilivosema hapo kwa mdau mwingine kuwa hili swali ni la KWELI na siyo FAKE. Sioni eti ni kwanini kama muuluza swali angekuwa anataka ushauri wa mtaji wa laki tatu, si tungeposti hivo straight to the point ?
Nimekuelwa kwenye huo mchango wako wa maoni hapo juu, kwa hilo nasema shukran.
 
Back
Top Bottom