Mtaji wa milioni moja, naomba wazo la biashara

Hello ndugu.

Huhitaji mtaji (au mtaji mkubwa) kuanzisha biashara.

Bali unahitaji taaluma ya kusoma matatizo ya soko pamoja na namna ya kutatua matatizo hayo.

Baada ya hapo unatakiwa kuweza ku test soko lako bila ya kupoteza pesa nyingi.

Kama soko linalipa, unajikita katika hilo soko na kujenga biashara. Kama hali lipi unaenda kwenye soko jengine.

Unaweza kuangalia video hii kujifunza zaidi:
View: https://youtu.be/oN9ZQWzAoxk?si=e8zdoasxhitqg6fU
Vile vile tunayo kozi ya bure mtandaoni tunafundiaha yote hayo.

Kama utapenda kujisajili unaweza kwenda hapa Wazo Fasta
 
Wabongo kwenye biashara sisi bado sana. Nimesoma asilimia 90 ya mawazo ya kibiashara hapa wanashauri biashara ya mali kuoza hiyo ni biashara ngumu sana kwa mtu anaeanza.
 


Kuna mawili tu hapo

1. Soma ka course ka computer security, SAP au Oracle halafu utafute kazi popote mitandaoni
2. Tafuta laini ya kwenda kujiongeza majuu tumia hiyo kama ticket

Maana una pesa ya mboga tu
 
Nunua baro moja la vitenge, java, linauzwa laki 5 hadi 7.5 kutegemea na msimu. Ingia minadani na magulioni huku Handeni, pitia Gairo hadi Manyoni huko.

Baada ya mwaka utakuja kunishukuru kama ni mwenye kushukuru.
 
Nunua baro moja la vitenge, java, linauzwa laki 5 hadi 7.5 kutegemea na msimu. Ingia minadani na magulioni huku Handeni, pitia Gairo hadi Manyoni huko.

Baada ya mwaka utakuja kunishukuru kama ni mwenye kushukuru.
Vitenge unapata pair ngapi na minadan wanauzaje!
 
Kuna mawili tu hapo

1. Soma ka course ka computer security, SAP au Oracle halafu utafute kazi popote mitandaoni
2. Tafuta laini ya kwenda kujiongeza majuu tumia hiyo kama ticket

Maana una pesa ya mboga tu
Hizi kazi za oracle, cybersecurity, SAp anatafuta kazi za kifanya online, kampuni za nje au ndani, ???
 
Nunua baro moja la vitenge, java, linauzwa laki 5 hadi 7.5 kutegemea na msimu. Ingia minadani na magulioni huku Handeni, pitia Gairo hadi Manyoni huko.

Baada ya mwaka utakuja kunishukuru kama ni mwenye kushukuru.
Uko handeni mkuu?
 
Na tulioko mkoani?
 
Kama unaroho ngumu Kuna machimbo yanayouza pikipiki used kwa bei nzuri nunuwa ya 800000 kisha upige bolt au kawaida ,pesa iliyobakia utanzia maisha kwenye kazi yako mpya ,hapa jitihada zako na umakini ndio utakao kupatia faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…