Mkuu vp mbasa wanapatikanaNiko mbeya kyela
Ndugu yangu we acha tu! Kuna documents nilikuwa nazo ni za kiserikali, kuna baadhi sikumbuki nilipoziweka nakaandaa tena kwenye kuziandika data zilezile hakuna hata kilichopikwa. Shughuli imekuwa kwenye kusainiwa, zimekataliwa bhana. Na documents zenyewe nyeti. Director naye hanielewi anaona nimeleta matatizo.Pole sana ndugu mini tatizo
Pole sana broUmuhimu wako Leo wote unapotea. Wanakuona umeleta matatizo.
Naona lawama zinakuja nyingi, na mimi nimewapasulia ukweli tu nimeona liwalo na liwe na leo nitaondoka mapema sana. Nime waambia records zipo njooni mzikague kama nimepika data. Wananipa vitisho nimewaangalia kwa vile ni wakubwa nimewastahi tu. Kuna kikao wananiwekea Nikishakisikiliza tu nasepa.Pole sana bro
Hahahahahahaha vibua Paris hawalagi eeeernhEneo ulilopo ni muhimu sana kufahamisha watu kabla hawajauliza maswali ya hivyo.
Mtu anaweza kukwambia uuze vibua kumbe uko Paris.
Hivi kama hii inatakiwa kuwa na aina gani ya cameraKibanda cha kupiga picha za passport mtaan hapo kipo?! Kama hakipo changamka
Pole sanaNaona lawama zinakuja nyingi, na mimi nimewapasulia ukweli tu nimeona liwalo na liwe na leo nitaondoka mapema sana. Nime waambia records zipo njooni mzikague kama nimepika data. Wananipa vitisho nimewaangalia kwa vile ni wakubwa nimewastahi tu. Kuna kikao wananiwekea Nikishakisikiliza tu nasepa.
Hehehee aiseEneo ulilopo ni muhimu sana kufahamisha watu kabla hawajauliza maswali ya hivyo.
Mtu anaweza kukwambia uuze vibua kumbe uko Paris.