Kila idea nayojaribu kubuni inani'cost zaidi ya 500,000/= mfano biashara ya kununua kuku toka Singida na kuwauza kwenye migahawa. Naombeni mawazo yenu wadau niweze kujikwamua, nifanye nn kwa hii 200,000 niliyo sasa?
Kaka 200 unatosha kbs, mimi nilianza na 150. Cha kufanya usiagize kwanza singida. Cha kufanya usiagize kwanza singida nunua hapo ulipo kwa washikaji wanaoleta singida.
Kaka 200 unatosha kbs, mimi nilianza na 150. Cha kufanya usiagize kwanza singida. Cha kufanya usiagize kwanza singida nunua hapo ulipo kwa washikaji wanaoleta singida.
Kaka 200 unatosha kbs, mimi nilianza na 150. Cha kufanya usiagize kwanza singida. Cha kufanya usiagize kwanza singida nunua hapo ulipo kwa washikaji wanaoleta singida.