Mkuu em jaribu kuangalia jinsi mleta uzi alivyoandika uzi wake, hivi kwa maelezo yale wewe unaweza kutoa ushauri gani... Ushauri hapo ni kumpa pole na kumwambia avumilie, angetoa maelezo sahihi ungeona watu wanamshauri accordingly... Em jaribu kkumshauri wewe tuone utasemaje kwa maelezo yake