Wateja wa aina gani unawalenga ?Nina mpango wa kuanzisha kampuni ya ulinzi taratibu zote nazijua isipokuwa nataka nijue natakiwa kuwa na pesa ngapi kama mtaji ili lengo langu litimie? Karibuni wadau wakati ndo huu.
Wateja wa aina gani unawalenga ?
Maana,
Kuna kampuni za ulinzi zina malindo mpaka ya bar, grocery, vituo vya mafuta uswahilini, maduka ya watu n.k
Na kuna,
Makampuni yana malindo kwenye Mahotel makubwa ya kitalii, makampuni makubwa, migodini, magodown, mabandari, Airports, mabenk n.k
What's your targetted Niche ?
Where have you spotted a gap ?
Hakika.We jamaaa weweeeee! Umenifurahisha sana mkuu, inaonekana tulikua tunaandika wakati mmoja. Nimependa sana ulivyoweka vizuri post yako. Imeelezea kitaalam kitu nilichokua nakiwaza.